Orodhesha anuani yako ya barua pepe kupata habari:



 

 
 

Sikiliza Mchezo wa Redio wa Wahapahapa na Ushinde Muda wa Maongezi Kila... Soma zaidi

 

 

Hadithi ya Upanga

Upanga ni eneo muhimu sana katika historia ya muziki Tanzania. Hata katika miaka ya karibuni kulizuka kilichoitwa East Coast, muungano fulani wa... Soma zaidi

Ona Zaidi

 




 

MUZIKI


 FM Academia

FM Academia ni moja ya bendi za hapa nyumbani ambazo kwa kweli zimefanikiwa kuwateka mashabiki wengi na kuwaweka chini ya himaya ya kazi zao. Ukitazama video hii utaona jinsi vijana wake wa kazi wanavyojitahidi kwa kila hali kuweza kuendeleza ukali wa bendi hii. Cheki madensa wanavyoshughulika na ukongaji wa nyoyo za wapenzi wao.





 

 

 
  1. Pancho/Mx Carter/Mabeste/Leo/Izzo B...
    We Go Harder
  2. AT/Nyota Ndogo
    Mpishi
  3. Blac/AT/Gelly/Rose
    Hood Life, Good Life
  4. AT/Gelly
    Waswahili
  5. Soma zaidi
 
 
Nuru

Kuna shabiki wa muziki aliwahi kuniambia kwamba, 'Nuru is sooooo marketable', kwa maana nyingine amekamilika katika Soma zaidi