 |
| |
|
 |
Sikiliza Mchezo wa Redio wa Wahapahapa na Ushinde Muda wa Maongezi Kila...
Soma zaidi
|
|
|
|
 |
 |
| |
|
|
Hadithi ya Upanga
Upanga ni eneo muhimu sana katika historia ya muziki Tanzania. Hata katika miaka ya karibuni kulizuka kilichoitwa East Coast, muungano fulani wa...
Soma zaidi
Ona Zaidi
|
|
|
|
 |
|
|
|
 |
|
|
|
My Love ya Squeezer yafikia patamu
|
ALBAMU ya mkali wa Hip Hop mwenye uwezo wa kuimba, George Kasela ‘Squeezer’, iitwayo My Love, itakamilika mwishoni mwa mwezi ujao.
Akiwa ameshafanya nyimbo tano hadi sasa, Squeezer, kaka yake Dataz, mwanadada mkali wa bongo fleva, alisema kuwa bado nyimbo nne albamu ikamilike.
“Sijashirikisha wasanii wengi, ni dada yangu Dataz pekee niko naye kwenye wimbo wa My Love. Nina nafasi ya kushirikisha wengine katika kazi zijazo,” alisema.
Baadhi ya nyimbo zake ni My Love na My Love Remix, Hi Hi na Falling in love.
>> Ona Zaidi
|
|
 |
|
 |
 |
| |
Nuru
|
Kuna shabiki wa muziki aliwahi kuniambia kwamba, 'Nuru is sooooo marketable', kwa maana nyingine amekamilika katika
Soma zaidi
|
|
|
|
 |
|