Jina la Usajili:  Neno la Siri:    Umesahau neno la siri?   |   Umesahau jina?   |   Jiunge
Parapanda Yawapa Big-Up Wabongo
Jack wa Chuzi Matatani
Ney na Video Mpya
Una Pochi? - Wolper
Richard Atimkia Moshi
Chunguzeni kwa Kina - Mlela
Twanga Wafunika Mbaya
Utamu wa Sauti za Busara Wanogeshwa Zaidi
Utata wa Picha za Wolper
  • Parapanda Yawapa Big-Up Wabongo

    Parapanda Yawapa Big-Up Wabongo

  • Jack wa Chuzi Matatani

    Jack wa Chuzi Matatani

  • Ney na Video Mpya

    Ney na Video Mpya

  • Una Pochi? - Wolper

    Una Pochi? - Wolper

  • Richard Atimkia Moshi

    Richard Atimkia Moshi

  • Chunguzeni kwa Kina - Mlela

    Chunguzeni kwa Kina - Mlela

  • Twanga Wafunika Mbaya

    Twanga Wafunika Mbaya

  • "Chukua Pipi Yazinduliwa Pangani

  • Utamu wa Sauti za Busara Wanogeshwa Zaidi

    Utamu wa Sauti za Busara Wanogeshwa Zaidi

  • Utata wa Picha za Wolper

    Utata wa Picha za Wolper

Wahapahapa Blogu
Parapanda Yawapa Big-Up Wabongo KUNDI la sanaa za maonyesho la Parapanda Theatre Lab linawashukuru Watanzania waliojitokeza katika maonyesho yake ya tamthiliya ya Antigone yaliyofanyika hapa nchini. Mkurugenzi wa Parapanda, Mgunga Mwamnyenyelwa, alisema kupitia maonyesho hayo, kujitokeza kwao kumeonyesha kuwa wameanza kuona umuhimu wa sanaa za maonyesho ya jukwaani. “Tunashukuru Watanzania kujitokeza kwa wingi katika…

Soma Zaidi...
30 Septemba 2011

Jack wa Chuzi Matatani

Jack wa Chuzi Matatani RB namba KJN/RB/6380/2011 ‘LUGHA YA MATUSI’ inatumika kumsaka msanii wa filamu Bongo mwenye ujazo wa maneno machafu kinywani mwake, Jacqueline Pentezel a.k.a Jack Chuz  (pichani), kwa kosa la kutoa lugha ya matusi  kwa mwandishi wa magazeti ya Kampuni ya Global Publishers. Mtuhumiwa alitenda kosa hilo hivi karibuni wakati mwandishi akitekeleza…

Soma Zaidi...
26 Septemba 2011

Ney na Video Mpya

Ney na Video Mpya MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Elibariki Munisi, maarufu kama ‘Ney wa Mitego’ anatarajia kuutengenezea video wimbo wake uitwao ‘Ukweli wa Moyo’ ambao amewashirikisha Matonya na Shebby Love. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ney alisema wimbo huo ni wanne kati ya zile zilizoko kwenye albamu yake ya pili…

Soma Zaidi...
26 Septemba 2011

Una Pochi? - Wolper

Una Pochi? - Wolper MSANII wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe amekiri kuweka fedha mbele katika maisha yake huku akidai kuwa, hicho ndicho kilichomtoa Moshi kuja jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Risasi Jumamosi juzikati jijini Dar,  Wolper alisema, linapokuja suala la fedha huwa hataki utani kwani lengo lake ni kutimiza ndoto zake…

Soma Zaidi...
26 Septemba 2011

Richard Atimkia Moshi

Richard Atimkia Moshi CHOTARA aliyeng’arisha jina kwa ushindi wa kitita kirefu kwenye Shindano la Big Brother Africa II 2007, Richard Dyle Bezuidenhout (pichani) manadaiwa kulikacha Jiji la Dar na kuhamia Moshi, Kilimanjaro, Risasi Jumamosi limenyetishwa. Kwa mujibu wa taarifa zilizopenya kwenye ngoma za masikio ya mdaku wetu, Richard amefikia uamuzi huo kufuatia mkewe…

Soma Zaidi...
Chunguzeni kwa Kina - Mlela MUIGIZAJI mwenye sauti ya kiume katika filamu za Kibongo, Yusuf Mlela ameiminyia mavumbini skendo inayomtafuna kwamba anatoka kimapenzi na msanii mwenzake, Aunt Ezekiel Grayson (pichani), Risasi Jumamosi linajiachia. Akizungumza hivi karibuni jijini Dar, Mlela alisema kuwa, anawashangaa wazushi wanaoneza madai hayo lakini akasema anajua ni kutokana na jinsi wanavyogandana na…

Soma Zaidi...

KARIBUNI

Wahapahapa ni daraja la habari zinazohusiana na tasnia ya muziki na uwanja wa filamu zinazojiri katika blogusfia ya Tanzania. Jionee video mbalimbali za wasanii wa muziki wa Tanzania, soma wasifu za wasanii, weka maoni, pandisha picha zako, soma na uchangie habari za soko la filamu za Tanzania, na juu ya yote usiache kusikiliza mchezo wa radio uliotengenezwa kwa kiwango cha juu na kujipatia umaarufu mkubwa, mchezo wa Wahapahapa.

MSANII WA WIKI

Wolper

MUIGIZAJI wa filamu Bongo Jackline Wolper ameshiriki katika filamu katika kampuni ya filamu iliyopo Mkoani Mbeya kwa

Soma Zaidi...

VIDEO YA MHARIRI

The Lost Adam

Kwa sasa ipo madukani...Ni Filamu iliyosheheni Udanganyifu,  Mapenzi, Tamaa yakiwemo

Soma Zaidi...

FILAMU ZA BONGO

Wasanii na Wasambazaji Tunazingua Filamu

MSANII mwenye fani lukuki Mshindo Jumanne amebaisha kuwa katika sakata linaloendelea sasa kuhusu maslahi ya

Soma Zaidi...

WAHAPAHAPA VIDEO

You need Flash player 6+ and JavaScript enabled to view this video.




BLOGU ILIYOPENDWA ZAIDI