KUNDI la sanaa za maonyesho la Parapanda Theatre Lab linawashukuru Watanzania waliojitokeza katika maonyesho yake ya tamthiliya ya Antigone yaliyofanyika hapa nchini. Mkurugenzi wa Parapanda, Mgunga Mwamnyenyelwa, alisema kupitia maonyesho hayo, kujitokeza kwao kumeonyesha kuwa wameanza kuona umuhimu wa sanaa za maonyesho ya jukwaani. “Tunashukuru Watanzania kujitokeza kwa wingi katika…
RB namba KJN/RB/6380/2011 ‘LUGHA YA MATUSI’ inatumika kumsaka msanii wa filamu Bongo mwenye ujazo wa maneno machafu kinywani mwake, Jacqueline Pentezel a.k.a Jack Chuz (pichani), kwa kosa la kutoa lugha ya matusi kwa mwandishi wa magazeti ya Kampuni ya Global Publishers. Mtuhumiwa alitenda kosa hilo hivi karibuni wakati mwandishi akitekeleza…
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Elibariki Munisi, maarufu kama ‘Ney wa Mitego’ anatarajia kuutengenezea video wimbo wake uitwao ‘Ukweli wa Moyo’ ambao amewashirikisha Matonya na Shebby Love. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ney alisema wimbo huo ni wanne kati ya zile zilizoko kwenye albamu yake ya pili…
MSANII wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe amekiri kuweka fedha mbele katika maisha yake huku akidai kuwa, hicho ndicho kilichomtoa Moshi kuja jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Risasi Jumamosi juzikati jijini Dar, Wolper alisema, linapokuja suala la fedha huwa hataki utani kwani lengo lake ni kutimiza ndoto zake…
CHOTARA aliyeng’arisha jina kwa ushindi wa kitita kirefu kwenye Shindano la Big Brother Africa II 2007, Richard Dyle Bezuidenhout (pichani) manadaiwa kulikacha Jiji la Dar na kuhamia Moshi, Kilimanjaro, Risasi Jumamosi limenyetishwa. Kwa mujibu wa taarifa zilizopenya kwenye ngoma za masikio ya mdaku wetu, Richard amefikia uamuzi huo kufuatia mkewe…
MUIGIZAJI mwenye sauti ya kiume katika filamu za Kibongo, Yusuf Mlela ameiminyia mavumbini skendo inayomtafuna kwamba anatoka kimapenzi na msanii mwenzake, Aunt Ezekiel Grayson (pichani), Risasi Jumamosi linajiachia. Akizungumza hivi karibuni jijini Dar, Mlela alisema kuwa, anawashangaa wazushi wanaoneza madai hayo lakini akasema anajua ni kutokana na jinsi wanavyogandana na…
Wahapahapa ni daraja la habari zinazohusiana na tasnia ya muziki na uwanja wa filamu zinazojiri katika blogusfia ya Tanzania. Jionee video mbalimbali za wasanii wa muziki wa Tanzania, soma wasifu za wasanii, weka maoni, pandisha picha zako, soma na uchangie habari za soko la filamu za Tanzania, na juu ya yote usiache kusikiliza mchezo wa radio uliotengenezwa kwa kiwango cha juu na kujipatia umaarufu mkubwa, mchezo wa Wahapahapa.
|
|
|